Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNCHR) imezindua Mradi wa Kujenga Uwezo wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi katika Mazingira ya Mkoa wa Kigoma. Mradi huo wenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 19 (zaidi ya shilingi bilioni 51), unafadhiliwa...Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.Mha.Hamad M.Y Masauni ameongoza ujumbe wa Tanzania kutembelea kampuni ya Hafslund Celsion, kampuni inayojishughulisha na ukusanyaji na utengenishaji wa Taka katika Mainispaa ya Oslo nchini Norway. Katika Ziara Hiyo Mhe Masauni aliambatana na Bi.Tone Tinnes, Balozi wa Norway nchini Tanzania pamoja na Maafisa kutoka...Read More