Paulo Lyimo

By

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuwa na umoja wenye sauti moja yenye nguvu ili kuwa na sauti moja katika mazungumzo ya mabadiliko ya tabianchi. Ametoa wito huo wakati akifunga Mkutano wa Kundi la Majadiliano la Afrika (AGN) tarehe 30 Aprili 2025 uliofanyika Zanzibar ambapo...
Read More
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema Mkutano wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) ni muhimu kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla kwani utajadili mambo mbalimbali ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia. Amesema mkutano huo pia, utawaunganisha Waafrika zaidi ya milioni 300 katika matumizi...
Read More
1 2 3 4 5 363